Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

UWA podcast cover.jpg

URITHI WA ADAMU MICHEZO YA REDIO

Filtering by Category: podcast

20. Urithi 5

Cathbert Msemo

Sehemu hii ya mwisho inatufundisha juu ya kufukuka kwake Yesu na kupaa Mbinguni. Yesu amefufuka. Kaburi lake liko wazi. Wanafunzi wa Yesu walifurahi sana kumuona tena. Alikula pamoja nao, walizungumza pamoja, na aliwafundisha kwa jinsi ile ile kama ilivyokuwa kabla.Yesu, mkombozi wa ulimwengu, akapaa juu mbinguni kwa baba yake. Kazi aliyotumwa na Mungu wetu aliimaliza. Mpango wa Mungu kwawanaadamu umetimia. 

Urithi_Radio_20.jpg

 

19. Urithi 4

Cathbert Msemo

Yesu alisema: Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kristo ameuawa bila kosa, damu yake imemwagika msalabani bila hatia yoyote ameuawa na wanadamu. Sasa ni harakati za kwenda kuuzika mwili wake. Yosefu alikuwa amechongesha kaburi jipya kwa ajili yake mwenyewe karibu na Yesu aliposulubishwa. Basi, alinunua sanda nzuri akauviringishia mwili wa Yesu na kisha akauzika kaburini mwake, akaviringisha jiwe kubwa kuziba Kaburi lile. Nje Mariamu, mama yake Yesu na Mariamu Magdalena walisimama wakimsubiri kwa huzuni na majonzi tele. Iliwalazimu kuharakisha kwasababu kesho yake ni siku ya sabato, siku ambayo kwa sheria za wayahudi  wasingeweza kufanya kazi siku hiyo. Karibu kusikiliza kipindi hiki cha kusisimua

Urithi_Radio_19.jpg


16. Urithi 1

Anne Gihlemoen

Siku zimepita baada ya Bwana Yesu kuzaliwa. Naye aliendelea kukua katika hekima na kimo akimpendeza Mungu na wanadamu. Alipita sehemu zote za Israeli akifundisha neno la Mungu na kuponya wenye magonjwa. Habari ya miujiza ya Bwana Yesu ilienea kila mahali.

Read More

1. Anguko la dhambi 1

Editor Soma Biblia

URITHI WA ADAMU ni mfululizo wa hadithi kutoka kitabu cha Biblia Takatifu. Katika sehemu ya kwanza tukiwasimulia mwanzo wa uummbaji wa ulimwengu, mwanadamu alivyoishi katika bustani ya Eden kwa furaha ya mahusiano yake na Mungu. Mmojawapo wa Malaika wa mbinguni, Shetani, alitaka kuchukua nafasi ya Mungu. Lakini hakuweza. Akafurushwa na kutupwa duniani kutoka mbinguni pamoja na wote waliomuunga mkono.

Read More