Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

UWA podcast cover.jpg

URITHI WA ADAMU MICHEZO YA REDIO

Filtering by Tag: Urithi

18. Urithi 3

Anne Gihlemoen

Yesu hakuwa na hatia, lakini wamemkamata, wamemtesa na kumdhihaki. Yeye aliwaambia wale askari kuwa "huu ni wakati wenu hasa wakati wa utawala wa giza". Yesu anapelekwa kwa Pontio Pilato kupewa hukumu, wakati huo askari waliendelea kumtesa sana Bwana Yesu, walimpiga kwa mijeredi wakamvisha taji la miiba, wakamvisha joho jekundu, huku wakimtemea mate na kumkashifu sana. Yesu anazungushwa mitaani akiwa amebebeshwa msalaba mzito uliomuelemea hata ikalazimu simon wa mkirene kijana mkulima amsaidie kuubeba. Je, wanampeleka wapi sasa? Endelea kusikiliza sehemu hii

Urithi_Radio_18.jpg

10. Mfalme 3

Cathbert Msemo

Vitisho vya Goliath viliongezeka kila uchao. kila siku Goliath na jeshi lake la wafilisti walipanda mpaka Efes Damin na kuwatisha Sauli na wananchi wake.sauti yake ilitingisha nchi yote ya Israel. watu walikosa raha, Mfalme Sauli alikosa raha. Goliath alikuwa ni jitu la kutisha refu ajabu lenye miguu mikubwa ya ajabu mikono mikubwa kifua kilichojaa kama cha Simba dume. Sauti yake ilitisha kila alipoongea hata ndege kwenye miti waliruka kwa mstuko. Sikiliza kipindi hiki cha tatu usikie zaidi.

Mfalme_Radio_10.jpg

9. Mfalme 2

Cathbert Msemo

Mungu alimpa Daudi roho hivyo alipaswa kuwa na vifaa kwa kushughulikia kazi kama mfalme, wakati Mfalme Sauli maarufu alikuwa na kitu kingine tofauti kabisa, wakati huo huo Daudi akipokea roho, Roho wa Mungu akamwondoka Sauli. Mfalme Sauli alishikwa na ugonjwa wa ajabu akawa kama mtu aliyechanganyikiwa au aliye na mapepo. Kitu gani kinaendelea? Kipindi hiki cha Mfalme 2 kinaelezea vizuri zaidi.

Mfalme_Radio_09.jpg

1. Anguko la dhambi 1

Editor Soma Biblia

URITHI WA ADAMU ni mfululizo wa hadithi kutoka kitabu cha Biblia Takatifu. Katika sehemu ya kwanza tukiwasimulia mwanzo wa uummbaji wa ulimwengu, mwanadamu alivyoishi katika bustani ya Eden kwa furaha ya mahusiano yake na Mungu. Mmojawapo wa Malaika wa mbinguni, Shetani, alitaka kuchukua nafasi ya Mungu. Lakini hakuweza. Akafurushwa na kutupwa duniani kutoka mbinguni pamoja na wote waliomuunga mkono.

Read More