Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

bible reading light text.jpeg

SOMABIBLIA KWA NJIA YA MTANDAO

somabiblia kwa njia ya mtandao ni huduma kwa wote wanaotaka kusoma vitabu vyetu kwa manufaa zaidi.

nembo njia ya mtandao.jpg

Hii ni huduma kwa wote wanaotaka kusoma vitabu vyetu kwa manufaa zaidi. Vitabu vilivyoorodheshwa katika ukurasa huu, vimeandaliwa kama kozi yenye maswali. Ukiwa mwanafunzi wetu, mwalimu yuko tayari kukushauri, kusahihisha majibu yako na kutoa maoni na maelezo zaidi kwa lengo la kupanua uelewa wako wa mambo unayoyasoma.

Wote wanaofanya vizuri watapokea cheti kinachothibitisha kwamba wamesoma na kuelewa ujumbe wa kitabu kinachohusika. Mafunzo ni bure. Gharama ya kusoma ni bei ya kitabu tu. Vitabu vyaweza kununuliwa madukani kwetu, kwa wasambazaji wetu nchini kote, au kwa kuviagiza kwa somabiblia kwa njia ya mtandao, S.L.P. 2696, Arusha.

Baada ya kujiunga na kuchagua kitabu, mwanafunzi atapokea maswali yake kwa njia ya baruapepe au Posta, kama anavyoamua yeye. Majibu atayatuma kwa ofisi yetu mjini Arusha ambapo yatasahihishwa. Halafu tutamrudishia mwanafunzi majibu yake pamoja na cheti, ikiwa amefaulu vizuri.

Ukitaka kujiunga, peleka barua yenye jina lako, anwani yako na namba ya simu kwa anwani ya hapo juu, au tuma baruapepe kwenda kwa: njiayaposta.somabiblia@gmail.com au piga simu: +255 686 212 165

Au jaza fomu ya kujiunga hapo chini:

Vitabu vya kozi vipo vifuatavyo:

  1. Dini na Maisha
  2. Ubatizo wa Kikristo
  3. Imani Yangu
  4. Roho Mtakatifu
  5. Maombi
  6. Historia ya Kibiblia
  7. Onjeni Bwana Alivyo Mwema
  8. Biblia Ijieleze Yenyewe
  9. Wokovu – Maana na Matokeo
  10. Al-Kitab
  11. Israeli kwa Mtazamo wa Kikristo
  12. Mwongozo kwa Familia ya Kikristo I
  13. Mwongozo kwa Familia ya Kikristo II