Kuagiza
Ukitaka kuagiza mizigo midogo unaweza kujaza fomu iliyopo kulia. Kuagiza mzigo mkubwa, tafadhali agiza kwa njia ya simu: 0754 292 995
Au wasiliana na maduka ya vitabu Dar es Salaam - Mikocheni B au Mbezi Luis Bookshop, Arusha, Mbeya, Mwanza, Dodoma, Makambako na Iringa au kwa Dereva Mauzo anayepita karibu nawe ataweza kukufikia mzigo wako.
Unaweza kuagiza kwa simu kupitia Soma Biblia App. Pakua sasa katika Play Store
Malipo
Unaweza kuchagua njia tatu tofauti za malipo:
Unaweza kulipa kwa Simu. Utakapo agiza, tutakutumia uthibitisho na kiasi cha malipo. Na malipo yakipokelewa, tunakutumia mzigo wako.
Lipa kwa benki. Maelezo kuhusu akaunti zetu za benki utapewa utakapo amua kuagiza.
Kama utaamua kuchukua mzigo wako katika moja ya maduka yetu ya vitabu au magari yetu, unaweza kulipa mkononi papo hapo.
Kumbuka
Usafiri na gharama za posta zipo ndani ya malipo yako.