Neno la Leo
Ni kitabu cha kubeba popote na kutumika mwaka mzima. Kila siku kuna mistari minne ya Biblia inayotoa mwanga kwenye njia ya imani na kukuwezesha kuishi maisha ya Kikristo. Hata kuna mpango wa kusoma vitabu vyote vya Biblia ndani ya mwaka mmoja. Usikose kitabu hiki, maana Biblia ni taa ya miguu yako.
Ana kwa Ana na Bwana Yesu
Bartimayo na Zakayo walipata maisha mapya walipokutana na Yesu ana kwa ana. Yawezekana leo pia. Kitabu kizuri cha uinjilisti!