Baadhi ya Huduma Zetu
Kusambaza Biblia, Vitabu na Vifaa
Tuna maduka na magari ya yanayosambaza Biblia za watu wazima na watoto.
Agiza BibliaSoma Biblia App
Nunua, Soma, Sikiliza, Tazama na Jifunze Neno la Mungu popote ulipo kidijitali.
Pakua AppSoma Biblia kwa Njia ya Mtandao
Jifunze Biblia kupitia kozi zetu kwa manufaa zaidi. Yupo mwalimu wa kukushauri.
Jiunge hapaTunachapisha Vitabu vya Kikristo
Vitabu vinavyokusaidia kukua katika mafundisho ya Neno la Mungu.
Nunua VitabuSoma Biblia ni nani?
Soma Biblia Society ni shirika la wahisani linalolenga kusambaza Injili ya Yesu Kristo kwa rika zote.
Biblia
Vitabu vya Kikristo
Magazeti ya Watoto na Wachungaji
Kozi za Biblia Mtandaoni
Soma Biblia App
Programu za Vijana
Vifaa vya Madhabahuni
Shabaha nyingine ni kuwasaidia Wakristo kufikisha Injili kwa watu na kuwafundisha kupitia neno la Mungu – juu ya imani na maisha.
HABARI KUTOKA SOMA BIBLIA
Neno la Injili
Mkononi Mwako
Pakua Soma Biblia App leo na uweze kununua Biblia, Vitabu vya Kikristo, Vifaa vya Madhabahuni, kutazama video na kusikiliza shuhuda katika simu yako.
Nunua Biblia
Nunua Biblia na vitabu vya Kikristo kwa urahisi.
Sikiliza
Sikiliza mafundisho na shuhuda za kiroho.
Tazama
Tazama video za Soma Biblia.
Jifunze
Jiunge na kozi za Biblia mtandaoni.
Mawasiliano
Idara ya Mauzo
Kama ukitafuta kitabu na bei yake, au kutaka kuagiza na kununua vitabu
Simu: +255 754 292 995
Baruapepe: manager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 12772, Dar es Salaam, Tanzania
Makao: Barabara ya Mwai Kibaki, Mikocheni B, upande wa pili wa Sanitas Medical Centre. Maduka yanapatikana Dar es Salaam (Mikocheni B & Mbezi Luis), Arusha, Mbeya, Mwanza, Dodoma na Iringa
Idara ya Uchapishaji
Ukiwa na mswada au kutaka Soma Biblia kusambaza kitabu chako.
Simu: +255 787 392 951
Barua Pepe: publishingmanager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 2696, Arusha, Tanzania
Makao: Eneo la Sakina, upande wa pili wa sheli ya mafuta ya Oryx (kituo cha basi huitwa Oil Com). Fuata kibao cha Scripture Mission.
“Niliona moja ya kipeperushi chenu kikiwa chini maeneo ya stendi ya mabasi. Kimebadilisha maisha yangu.”
— Mtu Mmoja Alisema
Nikukaribishe kusoma toleo hili. Linatufundisha kusema hapana kwa yale yasiyo mapenzi ya Mungu. Makala zote zitatutia moyo na kutujengea ujasiri wa kusema hapana. Mfano mzuri ni Danieli na rafiki zake walivyomwambia Mfalme (tazama uk.15). Kwa vijana kuna makala muhimu sana juu ya kutunza miili yetu. Na usisahau michezo na katuni kuhusu Dada Rehema na wadogo zake. TSH. 500 TU.