SOMA BIBLIA SOCIETY ni shirika la wahisani lisilo la kutengeneza faida wala kuwa na mwelekeo wa kisiasa. Lengo letu kuu ni kusambaza Injili ya Yesu Kristo kwa Kiswahili, kwa kuandaa Kanisa kupitia kuendeleza, kuzalisha na kusambaza Biblia kwa njia ya sauti, machapisho ya kuaminika juu ya Injili na vifaa vingine. Shabaha nyingine ni kuwasaidia Wakristo kufikisha Injili kwa watu na kuwafundisha kupitia neno la Mungu – juu ya imani na maisha.

Soma Zaidi Hapa

HABARI KUTOKA SOMA BIBLIA

Mawasiliano

Idara ya Mauzo

Kama ukitafuta kitabu na bei yake, au kutaka kuagiza na kununua vitabu

Simu: +255 754 292 995 
Baruapepe: manager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 12772, Dar es Salaam, Tanzania              

Makao: Barabara ya Mwai Kibaki, Mikocheni B, upande wa pili wa Sanitas Medical Centre. Maduka yanapatikana Dar es Salaam (Mikocheni B & Mbezi Luis), Arusha, Mbeya, Mwanza, Dodoma na Iringa

Idara ya Uchapishaji

 Ukiwa na mswada au kutaka Soma Biblia kusambaza kitabu chako.

Simu: +255 787 392 951
Barua Pepe: publishingmanager.somabiblia@gmail.com
Anuani ya Posta: S.L.P. 2696, Arusha, Tanzania                  

Makao: Eneo la Sakina, upande wa pili wa sheli ya mafuta ya Oryx (kituo cha basi huitwa Oil Com). Fuata kibao cha Scripture Mission.

“Niliona moja ya kipeperushi chenu kikiwa chini maeneo ya stendi ya mabasi. Kimebadilisha maisha yangu.”

— Mtu Mmoja Alisema