SOMA BIBLIA

Saidia Kazi ya Kueneza Injili

Mchango wako unasaidia Soma Biblia kuendelea kufikisha Neno la Mungu, vitabu na rasilimali za Kikristo kwa watu mbalimbali.

UNATAKA KUULIZA KABLA YA KUTUMA MCHANGO?

Wasiliana na Finance Manager

Kwa maelezo zaidi kuhusu mchango, malipo au uthibitisho wa muamala, wasiliana nasi kwanza.

NJIA YA 01

Tuma Mchango kwa Benki

Unaweza kutuma mchango moja kwa moja kwenye akaunti rasmi ya Soma Biblia Donors kupitia benki ya CRDB.

ACCOUNT NAME SOMA BIBLIA DONORS
ACCOUNT NUMBER 0250014606500
BANK CRDB BANK PLC
BRANCH KIJITONYAMA BRANCH
BRANCH CODE 033385
SWIFT CODE CORUTZTZ
Baada ya kutuma mchango, unaweza kuwasiliana na Finance Manager kwa uthibitisho wa muamala.
NJIA YA 02

Tuma kwa Simu

Chagua huduma yako ya Mobile Money hapa chini. Namba hii inatumika kwa M-Pesa, Airtel Money, Yas na Halotel.

NAMBA YA MCHANGO 0754 292 995
Jinsi ya kutuma: Chagua huduma yako ya Mobile Money — M-Pesa, Airtel Money, Yas au Halotel — tumia namba 0754 292 995, kisha hakikisha jina la mpokeaji kabla ya kuthibitisha muamala.
NJIA YA 03

Visa / MasterCard

Kwa mchango wa kutumia Visa au MasterCard, unaweza kuelekezwa kwenye mfumo wa New Horizons Foundation.

Toa Mchango Online
Namba imenakiliwa ✓