Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

RIZIKI TOLEO LA 3, 2019 'TUNATAMBUAJE NAFASI YA WATOTO NA VIJANA NDANI YA KANISA?'

Habari kutoka Soma Biblia

RIZIKI TOLEO LA 3, 2019 'TUNATAMBUAJE NAFASI YA WATOTO NA VIJANA NDANI YA KANISA?'

Cathbert Msemo

Vito vya thamani 

Duniani kuna vito vingi vya thamani. Almasi ya Blue ni miongoni mwa madini ghali kuliko yote duniani. Bila shaka ukiwa na kipande cha almasi ya aina hii utakilinda sana. 

Kanisa lina kitu chenye thamani zaidi. Lina watoto na vijana! Hawa ni kama mawe yaliyo hai katika nyumba ya Roho, na kama viungo katika mwili wa Kristo. 

Katika toleo hili la RIZIKI tunajadili namna ya kutambua nafasi ya watoto na vijana ndani ya kanisa. Nia ni kukumbushana kama kanisa umuhimu wa kuwatambua, ili tuwalee vizuri na kuwajali pamoja na vipaji walivyo navyo. Neno la Mungu linasema, “Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; kokote kigeukiapo, hufanikiwa” (Mit 17:8). Tutafute ‘kugeuza’ vito hivi vya thamani ndani ya kanisa vigeukie mwili wa Kristo! 

Soma Riziki Online Hapa