Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

RIZIKI TOLEO LA 04/2021

Habari kutoka Soma Biblia

RIZIKI TOLEO LA 04/2021

Cathbert Msemo

Maisha ni ubatili ikiwa hatutashika utukufu wa msalaba, kuuthamini kama hazina muhimu, na kushikamana nao kama kitu cha thamani sana ambacho gharama yake huwezi kuilinganisha na kitu chochote duniani. Japo awali msalaba ulionekana kama kitu cha kipumbavu kwa mwanadamu, lakini Mungu alikigeuza kuwa kitu cha thamani. Kile ambacho hapo kwanza kilionekana kitu cha kipumbavu, Mungu alikifanya cha maana kwa mwanadamu. 

Juu ya msalaba tunaona wokovu; juu ya msalaba tunaona maisha mapya; na juu ya msalaba tunaona ulinzi dhidi ya adui zetu, na tunashuhudia jinsi fahamu zetu zinavyotiwa nguvu na kupata furaha na utoshelevu wa kiroho. 

Katika toleo hili la Riziki tunajadili kuhusu nguvu ya msalaba. Ni mahali ambapo Yesu Kristo alitundikwa yapata miaka elfu mbili iliyopita, lakini tukio lile lilisababisha mabadiliko makubwa sana katika ulimwengu. Ni tukio hili ambalo lilirudisha uhusiano wa Mungu na mwanadamu. Yeye ambaye hapo kwanza alikuwa amegombana na Baba yake wa mbinguni, sasa amerudishiwa nafasi yake kama mtoto na mrithi pamoja na Kristo. 

Pia utakutana na mtu mmoja ambaye hapo kwanza aliliudhi kanisa, lakini baada ya kukutana na Yesu maisha yake yalibadilika kabisa, hata kukiri waziwazi kuwa haoni fahari juu ya kitu chochote isipokuwa msalaba wa Yesu Kristo. 

Vilevile utapata kusoma makala mbalimbali zitakazokusaidia, kukujenga na kukusogeza karibu na Mungu. “Kwa maana neno la msalaba kwao wanaopotea ni upuzi, bali kwetu sisi tunaokolewa ni nguvu ya Mungu” (1 Kor 1:18).


Bonyeza hapa kusoma bure

Pia unaweza kujisajili na kupokea matoleo yote manne ya mwaka kwa njia ya posta. Bonyeza HAPA kujisajili