Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

Taarifa mpya kutoka kwa Soma Biblia

Habari kutoka Soma Biblia

Taarifa mpya kutoka kwa Soma Biblia

Anne Gihlemoen

Je, unajua kwamba mwaka jana wasambazaji wa Soma Biblia waliuza Biblia na vitabu millioni 2,2?! Na katika nchini ya Tanzania, Soma Biblia ni msambazaji mkubwa wa tatu katika Biblia. Maana, pamoja tunajenga nchi ya Tanzania, lakini muhimu zaidi, tunajenga nchi ya Mungu.

Kitabu kipya kutoka kwa Soma Biblia.

Kitabu kipya kutoka kwa Soma Biblia.

Sisi kama shirika la Soma Biblia, tupo kila mahali. Tuna matawi tano, na kutoka kwa yale tano, tunatumia gari ya kutembea nchi mzima. Wengi wanatuuliza: Fedha inazozidi katika mauzo yetu zinaenda wapi? Je, tunazikula? Je, zinaingia kwa poketi ya wakurugenzi? Hapana! Hela zinazozidi tunazi invest kwa kwenda mahali ambao tunajua ni kiyu ya kumfahamu Mungu, na mahali ambao ni mbali au mahali ambapo hatuuzi sana. Hela zingine tunazi invest katika uchapisaji wa vitabu vipya, au magazeti yetu, ya RIZIKI (gazeti kwa ajili ya watumishi wa kanisa) na Twende (gazeti la watoto). 

RIZIKI ni gazeti letu kwa ajili ya watumishi wa kanisa. Ni bure! Karibu kuisoma kwa nija ya mtandao, bonyeza hapa: https://issuu.com/riziki/docs/riziki_2_2017 

RIZIKI ni gazeti letu kwa ajili ya watumishi wa kanisa. Ni bure! Karibu kuisoma kwa nija ya mtandao, bonyeza hapa: https://issuu.com/riziki/docs/riziki_2_2017 

TWENDE toleo la pili mwaka huu ni kuhusu maombi. Karibu kuisoma. 500 tsh tu!

TWENDE toleo la pili mwaka huu ni kuhusu maombi. Karibu kuisoma. 500 tsh tu!

 

SEMINA YA WAFANYAKAZI

Ili kupata umoja katika shirika letu, na kutia moyo na kuongezea ufahamu wetu wafanyakazi wote, tunakutana katika semina mara moja kila mwaka. Mwaka huu tulikutana katika Amabilis Centre, Morogoro. Tulikuwa na muda mzuri. Elizabeth Lulu kutoka kwa Mzumbe University alitufundishia neno la Mungu. Na moja kutoka kwa chama cha Biblia alitufundisha kuhusu utafsiri ya Biblia. Jioni tulikuwa na michezo na muda ya kuongea vizuri, na kujenga urafiki.