Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

Twende toleo la 4, 2018 linapatikana

Habari kutoka Soma Biblia

Twende toleo la 4, 2018 linapatikana

Cathbert Msemo

Siku zote tunaona watu wakienda huko na huku kutafuta riziki. Wapo walioajiriwa, wakati wengine wanafanya kazi zao wenyewe, au wanapata nafsi ya kuwa viongozi serikalini au kanisani. Kupitia kazi hizo wanapata ada ya shule, chakula, wanajenga nyumba nzuri na kununua vitu vinginevyo wanavyohitaji. 

 Wakati watu wazima wakienda kazini, sisi watoto tunaenda shule kusoma. Ndiyo kazi yetu. Pia tunaenda kanisani, na tunapata muda wa kucheza na wenzetu kwa furaha. 

 Lakini je, umewahi kujiuliza hayo yote yatawezekanaje kama hakuna amani? Amani ni kuwa na hali ya usalama uletao raha ya kufanya kazi zetu na raha moyoni. Kusiwe na woga moyoni mwako, wala ugomvi kati yako na mwingine au vita kati ya nchi na nchi, kwa sababu amani ipo.

 Amani yetu sisi Wakristo inatoka wapi? Karibu usome toleo hili ujue zaidi maana ya amani.