Soma habari mpya kutoka Soma Biblia

Magazeti, RIZIKI Cathbert Msemo Magazeti, RIZIKI Cathbert Msemo

RIZIKI TOLEO LA #2/2022

Katika toleo hili la Riziki tunajadili mada isemayo, Je, Mungu anaweza kumwacha mwanadamu? Msingi wa swali hili unatokana na hali ambazo tunakutana nazo kwenye maisha. Kuna wakati unapita mahali pagumu na kufikia hatua ya kufikiri kwamba Mungu amekuacha. Bila shaka, wakati wa shida na uhitaji mkuu ungetamani kuona mtu unayehusiana naye vyema akiwa karibu nawe kukutia moyo na kukusaidia. Vipi usipomwona, unajisikiaje?

Karibu kusoma zaidi Hapa bure

Read More