Tunasambaza Biblia za aina nyingi, na kwa bei tofauti tofauti. Biblia ni aina za Chama cha Biblia, Biblia NIV, Habari Njema, Neno, Biblia za kilugha n.k.d. Baadhi za Biblia zinaonekana hapo chini.

Angalia orodha na bei kwa kubofya hapa