Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 686 313 721 or +255 744 339 167

E-mail: manager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishingmanager.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

Twende 2/2026 - Wanyama katika Biblia

Habari kutoka Soma Biblia

Twende 2/2026 - Wanyama katika Biblia

Cathbert Msemo

Mpendwa Msomaji

Watoto wapendwa, mnajua wanyama ni muhimu sana katika maisha yetu. Lakini hao sio tu rafiki zetu bali pia hutumiwa na Mungu katika kazi yake hapa ulimwenguni.

Je, mmeona jinsi wanyama walivyotumika sana katika Biblia kufundisha mambo ya imani na maisha? Kwa mfano kuna njiwa aliyemletea Nuhu tumaini baada ya gharika. Siku moja punda alimbeba Mfalme wa wafalme. Na punda mwingine alifanyika chombo cha ajabu; alizungumza kama sisi wanadamu. Hii ni ajabueee!

Katika toleo hili la Twende, tutaangalia baadhi ya wanyama katika Biblia na jinsi Mungu alivyowatumia kwa namna mbalimbali, ili tujifunze mambo mazuri kutoka kwao.

Utakutana na njiwa, nyati, punda, kondoo na wa-nyama wengine wengi. Bila shaka utapenda kumsifu Mungu ukiona wanavyoshuhudia ukuu wake. Kwa hiyo pia kuna wimbo wa sifa unaoweza kuuimba.

Na usisahau kufuatilia michezo, vibonzo na mistari mingine ya Biblia kuhusu wanyama ili ikupe hamu ya wewe kuendelea kuichunguza na kuijua Biblia yako. Kumbuka Dada Rehema ana zawadi kwa atakayejibu maswali na kuyatuma.

Na endapo una maswali, daima Kaka Kalamu yuko tayari kukujibu ukimwandikia. Karibu tusome!