Watoto wapendwa, karibuni! Katika toleo hili la Twende, tutajifunza kuhusu wanyama katika Biblia kama njiwa, punda na kondoo. Mungu aliwatumia kufundisha imani na maisha. Utapata michezo, vibonzo, mistari ya Biblia na wimbo wa sifa. Usikose zawadi kutoka Dada Rehema!
Nunua dukani Soma Biblia kwa 1000 tu.
Read More
Toleo hili la Twende linakukaribisha kusoma na kutafakari zaidi juu ya upendo wa Mungu. Mungu hawezi kutuacha. Hatuachi gizani, anatupa tumaini jipya na furaha kila wakati. Karibu tusome pamoja, ujifunze kupitia makala, vibonzo na michezo, ukumbuke maisha ni salama kwa sababu Mungu hatuachi kamwe.
Nunua dukani Soma Biblia 1000 tu.
Read More
Katika toleo hili tutajifunza jambo la muhimu sana tunapotaka kumpendeza Mungu na wanadamu. Jambo hili ni UTII. Kutii ni pamoja na swali gumu. Je, nimtii Mungu au mwanadamu? Wewe umewahi kujiuliza hivyo? Karibu kusoma toleo hili. TSH. 500 tu.
Read More