SUBIRA: Nimelelewa katika familia ya Kikristo

Nimelelewa katika familia ya Kikristo
Vivi Agerbo Joergensen na Subira Joachim
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

“Neno hili la Yeremia 29: 11 linanipa tumaini kujua kila ninachokifanya sipo peke yangu bali Mungu yupo nyuma yangu akinitia nguvu. Mungu anatuwazia mawazo ya amani wala si mabaya”. Karibu kusikiliza mahojiano haya kati ya Bi. Vivi na Subira Joachim Ammy upate kujua jinsi Subira alivyoweza kuwa Mkristo mzuri tangu utotoni hadi leo.

20200526_113830 Subira (2).jpg
Previous
Previous

Eliya Abdahla Mhando 'Namwamini Yesu Kristo'