Soma habari mpya kutoka Soma Biblia

taarifa Anne Gihlemoen taarifa Anne Gihlemoen

TUMEJIFUNZA NA TUMEBURUDIKA - SEMINA YA WATUMISHI WA SOMA BIBLIA

Mwaka huu wafanyakazi wa Soma Biblia tulipata nafasi ya kukutana kwa pamoja katika kituo cha Mikutano cha Amabilis, mjini Morogoro kuanzia tarehe 23 hadi 27 Mei 2018. Wafanyakazi wa vituo vya Soma Biblia toka Arusha, Dar es salaam, Iringa, Mbeya na Mwanza walihudhuria semina hiyo. Pia tulikuwa na waendesha mada mbalimbali toka Chama cha Biblia Tanzania, na Mchg Oswald Ndelwa kutoka Iringa, ambaye aliendesha somo la Biblia kwa siku mbili. 

Read More
Ofa maalum, taarifa Anne Gihlemoen Ofa maalum, taarifa Anne Gihlemoen

Siku kuu ya watoto

SIKU YA MIKAELI NA WATOTO INAKARIBIA. Soma Biblia inapenda kufanya kazi ya kuhubiri Injili kwa watoto bega kwa bega na Kanisa. Kwa hiyo tunatoa ofa maalum kwa sharika zote zinazopenda kuwapa watoto wao zawadi kwa ajili ya siku kuu ya watoto.

Read More