Soma habari mpya kutoka Soma Biblia
TUMEJIFUNZA NA TUMEBURUDIKA - SEMINA YA WATUMISHI WA SOMA BIBLIA
Mwaka huu wafanyakazi wa Soma Biblia tulipata nafasi ya kukutana kwa pamoja katika kituo cha Mikutano cha Amabilis, mjini Morogoro kuanzia tarehe 23 hadi 27 Mei 2018. Wafanyakazi wa vituo vya Soma Biblia toka Arusha, Dar es salaam, Iringa, Mbeya na Mwanza walihudhuria semina hiyo. Pia tulikuwa na waendesha mada mbalimbali toka Chama cha Biblia Tanzania, na Mchg Oswald Ndelwa kutoka Iringa, ambaye aliendesha somo la Biblia kwa siku mbili.
Siku kuu ya watoto
SIKU YA MIKAELI NA WATOTO INAKARIBIA. Soma Biblia inapenda kufanya kazi ya kuhubiri Injili kwa watoto bega kwa bega na Kanisa. Kwa hiyo tunatoa ofa maalum kwa sharika zote zinazopenda kuwapa watoto wao zawadi kwa ajili ya siku kuu ya watoto.
Taarifa mpya kutoka kwa Soma Biblia
Miezi iliyopita tumekuwa busy sana hapa Soma Biblia. Tumechapa matoleo jipya ya Twende na RIZIKI, tumefanya semina ya wafanyakazi wote, na kitabu kipya kimetolewa. Karibu kusoma zaidi!