Soma habari mpya kutoka Soma Biblia

Riziki 1/2026 - Kuzeeka kwa heshima

Kila mwanadamu amepewa zawadi ya maisha, lakini si wote hujiandaa kwa safari ya uzee. Biblia inafundisha: “Mkumbuke Muumba wako siku za ujana” (Mhu 12:1). Toleo hili la RIZIKI linakukaribisha kutafakari kuzeeka kwa heshima, hekima na urithi wa kiroho. Karibu usome na ujifunze zaidi!

Unaweza kusoma bure kupitia HAPA

Read More