Soma habari mpya kutoka Soma Biblia
Kumbukumbu ya ”Mzee JJ”, Jon Jøssang 30.10.1926-30.12.2016
Kwa majonzi makubwa tunasikitika kutangaza kifo cha mwanzilishi wa Scripture Mission, Mzee Jon Jøssang. Mzee Jøssang amefariki tarehe 30 desemba, 2016 huko Norway alipokuwa akiishi na familia yake. Jøssang amefariki akiwa mzee wa umri wa miaka 90.
"Miujiza katika mpango wa Mungu"
RIZIKI toleo la 4 linapatikana sasa. Karibu kusoma kuhusu Miujiza katika mpango wa Mungu.
"Majina ya Mungu", RIZIKI toleo la tatu
Majina ya Mungu yametumika ndani ya Biblia kama mwongozo wa kujifunza tabia ya Mungu. Toleo hili la RIZIKI linaeleza zaidi.