Soma habari mpya kutoka Soma Biblia
TUMEJIFUNZA NA TUMEBURUDIKA - SEMINA YA WATUMISHI WA SOMA BIBLIA
Mwaka huu wafanyakazi wa Soma Biblia tulipata nafasi ya kukutana kwa pamoja katika kituo cha Mikutano cha Amabilis, mjini Morogoro kuanzia tarehe 23 hadi 27 Mei 2018. Wafanyakazi wa vituo vya Soma Biblia toka Arusha, Dar es salaam, Iringa, Mbeya na Mwanza walihudhuria semina hiyo. Pia tulikuwa na waendesha mada mbalimbali toka Chama cha Biblia Tanzania, na Mchg Oswald Ndelwa kutoka Iringa, ambaye aliendesha somo la Biblia kwa siku mbili.
Taarifa mpya kutoka kwa Soma Biblia
Miezi iliyopita tumekuwa busy sana hapa Soma Biblia. Tumechapa matoleo jipya ya Twende na RIZIKI, tumefanya semina ya wafanyakazi wote, na kitabu kipya kimetolewa. Karibu kusoma zaidi!