Imani Yangu
Je, unataka imani yako iimarike, na maisha yako yampendeze Mungu? Pata mafundisho mepesi na yenye kina wakati mmoja. Kwa vijana pia!
Ubatizo wa Kikristo
Kitabu hiki kinakupa majibu sahihi kuhusu Ubatizo. Kwa mfano: Ni sahihi kuwabatiza Watoto wadogo? Na Ubatizo wa maji ni tofauti na Ubatizo wa Roho?
Roho Mtakatifu
Kuna maoni mengi kuhusu Roho Mtakatifu na kazi yake maishani mwetu. Kama ukitaka kujikita katika ukweli wa Biblia, kitabu hiki kitakusaidia.
Onjeni Bwana alivyo mwema
Kitabu hiki ni msaada wa kushiriki sakramenti ya Chakula cha Bwana kwa manufaa zaidi. Maelezo ya aina tatu: rahisi, ya kibiblia na ya kitheolojia.
Msingi wa imani
Ukitaka ‘mafuta’ ya mafundisho ya profesa kuhusu imani ya Kikristo, soma kitabu hiki! Cha lazima kwa wachungaji na walimu wa imani.
Imani ya Kiinjili - katika Mazingira ya Kiafrika
Vitabu vya ETE (Elimu ya Theolojia kwa Enezi) vimesaidia Waafrika wengi. Msomaji atamfahamu zaidi Mungu Muumba na Mungu Mwokozi.