Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 686 313 721 or +255 744 339 167

E-mail: manager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishingmanager.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

Twende toleo la 2/2025

Habari kutoka Soma Biblia

Twende toleo la 2/2025

Cathbert Msemo

Mimi nitamtumikia Bwana

Je, umewahi kusikia mtu akisema, "Mimi ni mtumi­shi wa umma" au "Mimi ni mtumishi wa taasisi"? Hawa ni watu wanaofanya kazi kwa maagizo ya mwajiri wao, wakileta faida na mabadiliko kwa jamii.

Lakini mtu anaposema, "Mimi ni mtumishi wa Mungu", anamaanisha nini? Je, Mungu amemwa­jiri? Hapana!

Kumtumikia Mungu ni kumfuata Yesu na kutenda yale anayopenda ili kuonyesha utukufu wake. Siyo kufanya kazi nyingi kwa kutafuta faida, bali ni ku­fuata maagizo yake na kutumia vipawa tulivyopewa na Mungu kwa njia inayompendeza.

Baadhi wanapenda kuimba, wengine kusaidia wenzao, wengine tena kufanya kazi fulani au ku­fundisha Neno la Mungu. Tunamtumikia Mungu kwa uaminifu na kwa moyo wa upendo, tukifanya mema kwa wengine.

Kwa lugha rahisi kabisa ndani ya toleo hili tutaji­funza zaidi juu ya kumtumikia Mungu. Mtu mmoja alisema; "Mimi na nyumba yangu tutamtumikia Mungu". Je, wewe utamtumikia nani?

Tutakuwa na vibonzo na michezo. Utasoma pia hadithi ya watoto walioanzisha wazo la kujenga nyumba ya mchungaji kanisani kwao na waka-fanikiwa wazo hilo. Huu ni utumishi wa mfano, sivyo! Karibu usome!

Nunua Soma Biblia Dukani