Emma Victoria Kikimba 'Bwana Ndiye Mchungaji Wangu'

Yesu amenitetea kwa mambo mengi
Emma Kikumba & Vivi Agerbo Joergensen
Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.

Emma Kikimba amezungumza na Vivi Houmaa Jørgensen na kutushirikisha safari ya maisha yake ya Ukristo. Zaburi ya 23 ni maneno anayoyapenda sana katika Biblia. Alianza kumjua Mungu utotoni katika Shule ya Jumapili na aliendelea kujifunza zaidi na kumwamini Yesu mpaka sasa. Karibu kusikiliza

20200603_134207.jpg
Previous
Previous

Ushuhuda wa Letesi Chuma 'Kweli Mungu Yupo'

Next
Next

Eliya Abdahla Mhando 'Namwamini Yesu Kristo'