Ushuhuda wa Letesi Chuma 'Kweli Mungu Yupo'

Kweli Mungu Yupo
Letesi Joseph Chuma & Vivi Agerbo Joergensen
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele.

Huu ndio mstari ninao upenda sana Yohana 3:16. Nilitoka katika mazingira ya watu ambao hawajamjua Mungu. Sikujua kwenda Kanisani wala sikumjua Mungu. Lakini sasa mimi ni mwinjilisti nafanya kazi Soma Biblia. Letesi Chuma anatushirikisha ushuhuda wake wa namna alivyopata neema ya kumjua Mungu na kutoka katika mazingira ya Upagani. Karibu kusikiliza

20200603_131759 (2).jpg
Previous
Previous

Ushuhuda wa Melania Joakim 'Yesu alinichagua bila gharama yoyote'

Next
Next

Emma Victoria Kikimba 'Bwana Ndiye Mchungaji Wangu'