Joseph Nyngasa Mganga 'Ninamwamini na kumtegemea Yesu Kila wakati'

Namtegemea Mungu
Joseph Nyangasa & Vivi Agerbo Joergensen
Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, wala sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.

Kupitia neno hili, 2 Timotheo 1:12 nimejifunza kuwa katika maisha ya Imani kuna mateso, lakini ninachotakiwa kufanya ni kumwamini Yesu na kuendelea kumtegemea yeye kila wakati. Karibu kusikiliza ushuhuda wa maisha ya kikristo ya Joseph Nyangasa mfanyakazi wa Soma Biblia.

Joseph Nyangara (2).jpg
Previous
Previous

Ushuhuda wa John Zakaria Mislay

Next
Next

Maisha ya Ebenezer Nelson Shafuri 'Mtu asiudharau Ujana wako'