Ushuhuda wa John Zakaria Mislay

Bwana Ndiye Mchungaji Wangu
John Zakaria Mislay & Vivi Agerbo Joergensen
Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu. Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza. ...

Niliumwa sana na hospitali hawakuweza kuona ugonjwa wowote waliponipima, lakini nilimuomba Mungu na akaniponya. Hii mistari ya Zaburi 23:1-6 ina maana sana katika maisha yangu. Mimi inanifariji sana. Ukiwa na Yesu katika maisha yako hutapungukiwa na kitu chochote. Namshukuru Mungu maana sikukata tamaa bali nilimtegemea yeye. Karibu kusikiliza ushuhuda huu kutoka kwa John Zakaria Mislay mfanyakazi wa Soma Biblia Arusha.

John Zakaia.jpg
Previous
Previous

Ushuhuda wa Raphael Paul Kallaghe

Next
Next

Joseph Nyngasa Mganga 'Ninamwamini na kumtegemea Yesu Kila wakati'