Ushuhuda wa James Sabuni 'Maongozo ya Mungu ni sahihi kuliko yale ya Wanadamu'
Karibu kusikiliza ushuhuda wa James Sabuni. Mstari huu wa Biblia anaupenda na ametushirikisha sisi sote tunaosikiliza ushuhuda wake. ‘Neno Moja nimelitaka kwa Bwana, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa Bwana Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa Bwana, Na kutafakari hekaluni mwake’ Zaburi 27:4
Ushuhuda wa Irene Andrew Mwanjela
Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.
Zaburi 118:5