Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

MIMI NI MKRISTO

Kuwa Mkristo ni kubatizwa na kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Je, ni hivyo tu? Kupitia mahojiano na watu mbali mbali tutajifunza kutoka kwao, waliwezaje kuwa Wakristo na kudumu katika Imani na Wokovu wake Yesu Kristo. Utajifunza kupitia ushuhuda wao na jinsi wanavyoishi maisha ya Kikristo.

Filtering by Tag: Yesu ni kweli

Ushuhuda wa Raphael Paul Kallaghe

Cathbert Msemo

Bwana akamwambia, Ni nini hiyo uliyo nayo mkononi mwako? Akasema, Ni fimbo. Akamwambia, Itupe chini; akaitupa chini, nayo ikawa nyoka; Musa akakimbia mbele yake. Bwana akamwambia Musa, Nyosha mkono wako, kamshike mkia; (akaunyosha mkono wake akamshika, naye akageuka kuwa fimbo mkononi mwake;)

Nilikuwa sijui Neno la Mungu hivyo niliona kama nimepotoka na nikavutwa na kwenda upande mwingine. Namshukuru Mungu mama yangu mdogo alikuja na kunishuhudia akisema nilikuwa huko miaka mingi lakini nimeijua kweli na kweli ni Kristo na akanipeleke katika mkutano wa Injili. Napenda Neno hili la Kutoka 4:2-4 na nalitumia kufundisha vijana. Huu ni ushuhuda wa Raphael Paul Kallaghe mfanyakazi wa Soma Biblia Arusha. Ameeleza mengi ya maisha yake ya kuwa Mkristo. Karibu usikilize

Raphael Kallage 2.jpg

Eliya Abdahla Mhando 'Namwamini Yesu Kristo'

Cathbert Msemo

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Eliya Abdahla Mhando ni mfanyakazi wa Soma Biblia kwa miaka 30 sasa. Alijiunga na Soma Biblia mwaka 1987. Hakuwa Mkristo, lakini alisukumwa kufanya kazi ya kuuza vitabu vya Soma Biblia. Alijiunga na Bible study katika ofisi za Soma Biblia na siku moja alipata zawadi ya Biblia. Alipokuwa anasoma alikutana na mstari huu: Yohana 14:6. Hadithi yake ya kubadilika, kuokoka na kumpenda Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake, itakuvuta na kuendeleza kiu yako ya kumjua Mungu.

Karibu usikilize

20200603_134318 Eliy.jpg