13. Mkuu wa Amani 2

Urithi wa Adamu - Mkuu wa Amani 2
Hammerson Luhanga/Roger Gihlemoen

“Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, naye atamwita jina lake Imanueli.” Haya ni maneno ya nabii Isayah, ina maana kwamba katika vizazi vya mfalme Daudi Masihi atazaliwa, mmoja ambaye atawaokoa wanadamu wote! Zikiliza jinsi Yusufu alikuja kugundua ukweli juu ya mtoto Mariamu alikuwa akizaa, na jinsi walipaswa kukimbilia Bethlehemu ili kuhesabiwa na utawala wa Kirumi.

MkuuWaAmani_Radio_13.jpg
Previous
Previous

14. Mkuu wa Amani 3

Next
Next

12. Mkuu wa Amani 1