15. Mkuu wa Amani 4
Yesu akazaliwa! Sikiliza kipindi hiki kujua zaidi kuhusu wageni waajabu waliowatembelea Yusufu na Mariamu baada ya Yesu kuzaliwa.
14. Mkuu wa Amani 3
Yusufu na mkewe Mariamu walikuwa wanahangaika kutafuta mahali atakapozaliwa Mfalme mpya mwokozi wa ulimwengu ajaye kutimiza mpango wa Mungu.
13. Mkuu wa Amani 2
Zikiliza jinsi Yusufu alikuja kugundua ukweli juu ya mtoto Mariamu alikuwa akizaa, na jinsi walipaswa kukimbilia Bethlehemu ili kuhesabiwa na utawala wa Kirumi.
12. Mkuu wa Amani 1
Ni miaka elfu moja imepita tangu Mfalme Daudi alipofaulu kuwakusanya watu wa Israeli wawe kitu kimoja. Mungu alimuahidi Daudi kuwa ufalme wake utadumu hata milele, ila sasa hivi kuna shaka kama ahadi hii itatimizwa.