Yesu anaendelea kufundisha na kufanya miujiza mikuu. Watu wengi wanamwamini na kumfuata. Ni wakati huu pia ambapo watawala walizidi kukasirika na kuamua kumkamata Yesu. 
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Siku zimepita baada ya Bwana Yesu kuzaliwa. Naye aliendelea kukua katika hekima na kimo akimpendeza Mungu na wanadamu. Alipita sehemu zote za Israeli akifundisha neno la Mungu na kuponya wenye magonjwa. Habari ya miujiza ya Bwana Yesu ilienea kila mahali. 
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Yesu akazaliwa! Sikiliza kipindi hiki kujua zaidi kuhusu wageni waajabu waliowatembelea Yusufu na Mariamu baada ya Yesu kuzaliwa.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Yusufu na mkewe Mariamu walikuwa wanahangaika kutafuta mahali atakapozaliwa Mfalme mpya mwokozi wa ulimwengu ajaye kutimiza mpango wa Mungu.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Zikiliza jinsi Yusufu alikuja kugundua ukweli juu ya mtoto Mariamu alikuwa akizaa, na jinsi walipaswa kukimbilia Bethlehemu ili kuhesabiwa na utawala wa Kirumi.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Ni miaka elfu moja imepita tangu Mfalme Daudi alipofaulu kuwakusanya watu wa Israeli wawe kitu kimoja. Mungu alimuahidi Daudi kuwa ufalme wake utadumu hata milele, ila sasa hivi kuna shaka kama ahadi hii itatimizwa. 
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Ibrahimu anapatwa na majaribu makubwa.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Mungu anaweka Agano la kumpa uzao mwingi  Abramu.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Ishmaeli anazaliwa na Hajiri mjakazi wa Sarai.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Safari ya Abramu kwenda nchi aliyoahidiwa na Mungu. Sehemu ya kwanza
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      Shetani hakuwapenda kabisa Adamu na Eva. Basi akaweka mpango wa kuvunja upendo wa mwanadamu kwa Mungu.
      Read More
    
    
        
    
    
  
  
  
    
    
    
    
    
    
      URITHI WA ADAMU ni mfululizo wa hadithi kutoka kitabu cha Biblia Takatifu. Katika sehemu ya kwanza tukiwasimulia mwanzo wa uummbaji wa ulimwengu, mwanadamu alivyoishi katika bustani ya Eden kwa furaha ya mahusiano yake na Mungu. Mmojawapo wa Malaika wa mbinguni, Shetani, alitaka kuchukua nafasi ya Mungu. Lakini hakuweza. Akafurushwa na kutupwa duniani kutoka mbinguni pamoja na wote waliomuunga mkono.
      Read More