Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

UWA podcast cover.jpg

URITHI WA ADAMU MICHEZO YA REDIO

Filtering by Tag: Yesu msalabani

19. Urithi 4

Cathbert Msemo

Yesu alisema: Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kristo ameuawa bila kosa, damu yake imemwagika msalabani bila hatia yoyote ameuawa na wanadamu. Sasa ni harakati za kwenda kuuzika mwili wake. Yosefu alikuwa amechongesha kaburi jipya kwa ajili yake mwenyewe karibu na Yesu aliposulubishwa. Basi, alinunua sanda nzuri akauviringishia mwili wa Yesu na kisha akauzika kaburini mwake, akaviringisha jiwe kubwa kuziba Kaburi lile. Nje Mariamu, mama yake Yesu na Mariamu Magdalena walisimama wakimsubiri kwa huzuni na majonzi tele. Iliwalazimu kuharakisha kwasababu kesho yake ni siku ya sabato, siku ambayo kwa sheria za wayahudi  wasingeweza kufanya kazi siku hiyo. Karibu kusikiliza kipindi hiki cha kusisimua

Urithi_Radio_19.jpg