12. Mkuu wa Amani 1
Ni miaka elfu moja imepita tangu Mfalme Daudi alipofaulu kuwakusanya watu wa Israeli wawe kitu kimoja. Mungu alimuahidi Daudi kuwa ufalme wake utadumu hata milele, ila sasa hivi kuna shaka kama ahadi hii itatimizwa.
Ni miaka elfu moja imepita tangu Mfalme Daudi alipofaulu kuwakusanya watu wa Israeli wawe kitu kimoja. Mungu alimuahidi Daudi kuwa ufalme wake utadumu hata milele, ila sasa hivi kuna shaka kama ahadi hii itatimizwa.