Msingi wa Imani

Ni hazina kubwa kwa wote wanaotaka kufahamu ukweli wa Imani ya Kikristo. Kimeandikwa na profesa wa theolojia mwenye fokasi ya Kiinjili na kwa lengo la kumwezesha msomaji kushuhudia, Namjua yeye nimwaminiye! Ni kitabu cha lazima kwa kila aliye na huduma ya kufundisha kanisani.

Msingi wa Imani cover .jpg

Mwandishi/Author: Carl Fr. Wisloff

Toleo lililohaririwa/revised edition: 2019

Kurasa/Pages: 216

Ukubwa/Size: 14.8 x 21 cm

ISBN: 978 9987 614 08 0

Code: 11025

Previous
Previous

Maisha Mazuri kwa Watoto

Next
Next

ELIMU YA IMANI NA KIKRISTO/CHRISTIAN EDUCATION