Msingi wa Imani
Ni hazina kubwa kwa wote wanaotaka kufahamu ukweli wa Imani ya Kikristo. Kimeandikwa na profesa wa theolojia mwenye fokasi ya Kiinjili na kwa lengo la kumwezesha msomaji kushuhudia, Namjua yeye nimwaminiye! Ni kitabu cha lazima kwa kila aliye na huduma ya kufundisha kanisani.
Msingi wa imani
Ukitaka ‘mafuta’ ya mafundisho ya profesa kuhusu imani ya Kikristo, soma kitabu hiki! Cha lazima kwa wachungaji na walimu wa imani.