Twende Toleo la #2, 2021 'linapatikana'

‘IMANI YANGU IMEKUWA’

Katika toleo hili tumefafanua mengi juu ya imani kukua. Kwa mfano, Joni na Jeni wanasikia habari kuhusu imani, na wanavutwa kumuuliza Rehema swali; Imani ni nini?. Mazungumzo yao na majibu ya Rehema ni katika katuni. Pia kuna michezo ya kuvutia. Usisahau kututumia majibu yako kama ilivyoelekezwa kwenye uk.5 na nyuma ya gazeti. 

Karibu kununua katika maduka ya Soma Biblia kwa Tsh. 500 tu.

Previous
Previous

Biblia mpya ya lugha mbili za kiswahili na kiingereza

Next
Next

RIZIKI toleo la 02/2021 'Usitutie majaribuni, Utuokoe na yule mwovu' linapatikana