18. Urithi 3

Urithi wa Adamu - Urithi 3
Hammerson Luhanga na Roger Gihlemoen

Yesu hakuwa na hatia, lakini wamemkamata, wamemtesa na kumdhihaki. Yeye aliwaambia wale askari kuwa "huu ni wakati wenu hasa wakati wa utawala wa giza". Yesu anapelekwa kwa Pontio Pilato kupewa hukumu, wakati huo askari waliendelea kumtesa sana Bwana Yesu, walimpiga kwa mijeredi wakamvisha taji la miiba, wakamvisha joho jekundu, huku wakimtemea mate na kumkashifu sana. Yesu anazungushwa mitaani akiwa amebebeshwa msalaba mzito uliomuelemea hata ikalazimu simon wa mkirene kijana mkulima amsaidie kuubeba. Je, wanampeleka wapi sasa? Endelea kusikiliza sehemu hii

Urithi_Radio_18.jpg
Previous
Previous

19. Urithi 4

Next
Next

17. Urithi 2