9. Mfalme 2

Urithi wa Adamu - Mfalme 2
Hammerson Luhanga na Roger Gihlemoen

Mungu alimpa Daudi roho hivyo alipaswa kuwa na vifaa kwa kushughulikia kazi kama mfalme, wakati Mfalme Sauli maarufu alikuwa na kitu kingine tofauti kabisa, wakati huo huo Daudi akipokea roho, Roho wa Mungu akamwondoka Sauli. Mfalme Sauli alishikwa na ugonjwa wa ajabu akawa kama mtu aliyechanganyikiwa au aliye na mapepo. Kitu gani kinaendelea? Kipindi hiki cha Mfalme 2 kinaelezea vizuri zaidi.

Mfalme_Radio_09.jpg
Previous
Previous

10. Mfalme 3

Next
Next

8. Mfalme 1