Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

UWA podcast cover.jpg

URITHI WA ADAMU MICHEZO YA REDIO

Filtering by Tag: Sauli

11. Mfalme 4

Cathbert Msemo

Muda wote Sauli alikuwa ndani ya Ikulu akitafakari jinsi wananchi wake walivyompokea Daudi mapokezi ambayo hata yeye tangu awe Mfalme hajawahi kupokewa hivyo...alimuangalia Daudi kwa jicho la chuki, hasira na kisasi. Daudi hakuwa amegundua chuki za mfalme Sauli juu yake. Alikuwa amesimama tu pembeni karibu na dirisha ndani ya ikulu ya Sauli akiongea na Yonathani. Mchezo huu wa Mfalme 4 unaeleza kwa undani.

Mfalme_Radio_11.jpg

9. Mfalme 2

Cathbert Msemo

Mungu alimpa Daudi roho hivyo alipaswa kuwa na vifaa kwa kushughulikia kazi kama mfalme, wakati Mfalme Sauli maarufu alikuwa na kitu kingine tofauti kabisa, wakati huo huo Daudi akipokea roho, Roho wa Mungu akamwondoka Sauli. Mfalme Sauli alishikwa na ugonjwa wa ajabu akawa kama mtu aliyechanganyikiwa au aliye na mapepo. Kitu gani kinaendelea? Kipindi hiki cha Mfalme 2 kinaelezea vizuri zaidi.

Mfalme_Radio_09.jpg

8. Mfalme 1

Cathbert Msemo

Ilikuwa ni zaidi ya miaka elfu moja baada ya Mungu kumuahidi Abrahamu kwamba atakuwa baba wa mataifa mengi na kuwa mfalme atatoka katika ukoo wake, mkombozi wa ulimwengu. Ukoo wake umekuwa watu wenye nguvu wa asili ya Kiarabu na wana wa Israeli. Wana wa Israeli hawakuwa na Mfalme ambaye ameweza kuwakusanya wao kuwa taifa moja. Mungu akawapa Sauli. Je, mambo yalikuwaje? Sikiliza kipindi hiki.

Mfalme_Radio_08.jpg