15. Mkuu wa Amani 4

Urithi wa Adamu - Mkuu wa Amani 4
Hammerson Luhanga na Roger Gihlemoen

Wakati wachungaji wale wa makondeni wakianza safari kufuatia ujumbe wa Malaika. Yusufu alikuwa na wakati mgumu nje ya zizi la mifugo katika Bethlehemu, mara akae chini mara ainuke atembee aende huku na kule.... alihaha jasho jembamba likimtoka. Hatimaye akasikia sauti ya mtoto mchanga akilia sana. Yesu akazaliwa! Sikiliza kipindi hiki kujua zaidi kuhusu wageni waajabu waliowatembelea Yusufu na Mariamu baada ya Yesu kuzaliwa.

MkuuWaAmani_Radio_15.jpg
Previous
Previous

16. Urithi 1

Next
Next

14. Mkuu wa Amani 3