Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

Logo_WWI_lamp.jpg

Wanawake wa Imani

Sisi wanawake hupenda kuongea na kujadili mambo yanayotuhusu hata yale ya ndani zaidi, kama yale hisia, tamaa, matakwa na hofu zetu. Na jambo jema zaidi ni uhusiano wetu na Mungu. Kupitia kipindi hiki cha Wanawake wa Imani, utasikia mazungumzo yanayo kusudia mambo hayo. Kipindi chetu, kitahitaji utulivu zaidi, ili Mungu apate kuongea nasi kwa maana ndivyo anavyotaka kweli. Tunaposikiliza asemavyo katika Neno lake, Biblia, tunapata kujifahamu vizuri zaidi, na kujua mapenzi yake kwenye maisha yetu ya kila siku. Hivyo tunakuwa Wanawake wa Imani.

Filtering by Tag: soma biblia

Anakupenda kwa sababu alikuumba - Wanawake wa Imani Kip #2

Anne Gihlemoen

Tunafahamu kwamba tuna shida mbalimbali katika maisha yetu. Shida ya uchumi ni rahisi kutambua, na wengi wanapambana kila siku ili wapate hata kidogo tu cha kulisha familia. “Kwa nini Mungu haoni hali hii na kunisaidia kama ananipenda?” Pia tunaweza kuwa na taabu ambayo sio rahisi kwa mwingine kugundua. Tusijidanganye na kusema hatuna shida iliyofichwa. Tunayo. Na wewe unaweza kuona kwamba shida yako inazidi, na inakuwa ngumu kiasi kwamba hujui kinachofuata ni nini. Katika hali hii unaweza kuona kutokujaliwa na Mungu kabisa. - Na kusikia juu ya upendo wake inasababisha tu ukasirike. ”Upendo ndio huo, basi. Haina kitu kwangu”. Tuko katika maada mgumu sana na haina jibu kwa rahisi. 

Read More

Yesu anapiga hodi kwako - Wanawake wa Imani Kip. #3

Anne Gihlemoen

Anakuita! Amekuja kukutafuta pale ulipo. Anabishahodi kwako. Si kwa jirani. Kwako. Anataka kuingia. Inaonekana kwamba haondoki mara akiona hakuna jibu. Ana haja kweli, na anaendelea kupiga hodi. 

- Mpendwa msikiliaji – Umemsikia? Tega sikio sasa, umsikie leo. 

Read More

Mwanamke Msamaria anawekwa huru na Yesu

Anne Gihlemoen

Mwanamke tutakayemkuta leo alikuwa anatafuta upendo, uhuru na amani kama tulivyoongea kipindi kingine, sisi wote tunatafuta mambo haya juu ya mambo yote mengine. Lakini huyu mwanamke pale alipoangalia na kutafuta, hakuweza kuyapata. Labda pia wewe uko kwenye hali ya kutafuta sana upendo, uhuru na amani, lakini baado hujayapata vizuri. Labda unaangalia mahali ambapo haipo!

Read More