Soma habari mpya kutoka Soma Biblia

Soma Biblia Kila Siku 2023

Soma Biblia tuna zana nzuri za kusoma Neno la Mungu kila siku. Soma Biblia kila siku 2023 ni Kalenda kamili na ufafanuzi kila siku kwa somo la Biblia.

Karibu kununua nakala yako mapema katika maduka yetu ya Soma Biblia

Read More
Kusoma Biblia Cathbert Msemo Kusoma Biblia Cathbert Msemo

FIKIA MAISHA

Mambo vipi! Vijana, angalieni hapa, tumepata kifaa. Soma Biblia pamoja na Biblica Kenya tumezindua programu mpya ya vijana ijulikanayo kama FIKIA MAISHA. Sasa mambo ni poa kabisa.

Read More
Magazeti, RIZIKI Cathbert Msemo Magazeti, RIZIKI Cathbert Msemo

RIZIKI TOLEO LA 1, 2020 'Ujenzi wa Familia Imara'

Katika toleo hili la RIZIKI tunaangalia mada isemayo, “Ujenzi wa familia imara”. Lengo ni kuibua na kujadili changamoto zilizopo kwenye taasisi hii muhimu ambayo mwanzilishi wake ni Mungu mwenyewe pale bustani ya Edeni. Ni wito wa kuliamsha kanisa na jamii yote, kuwa taasisi hii inapaswa kulindwa, kuimarishwa na kupiganiwa kwa nguvu zote.

Read More
Magazeti Cathbert Msemo Magazeti Cathbert Msemo

Twende toleo no. 3, 2018 linapatikana sasa

Mpendwa msomaji wa Twende, uvumilivu ni tunda la Roho tunayepewa tunapomwamini Yesu. Biblia inatufundisha uvumilivu kupitia watu mbalimbali. Toleo hili limefafanua zaidi maana ya uvumilivu kwetu sisi Wakristo. Jipatie nakala yako kutoka Soma Biblia.

Read More
taarifa Anne Gihlemoen taarifa Anne Gihlemoen

TUMEJIFUNZA NA TUMEBURUDIKA - SEMINA YA WATUMISHI WA SOMA BIBLIA

Mwaka huu wafanyakazi wa Soma Biblia tulipata nafasi ya kukutana kwa pamoja katika kituo cha Mikutano cha Amabilis, mjini Morogoro kuanzia tarehe 23 hadi 27 Mei 2018. Wafanyakazi wa vituo vya Soma Biblia toka Arusha, Dar es salaam, Iringa, Mbeya na Mwanza walihudhuria semina hiyo. Pia tulikuwa na waendesha mada mbalimbali toka Chama cha Biblia Tanzania, na Mchg Oswald Ndelwa kutoka Iringa, ambaye aliendesha somo la Biblia kwa siku mbili. 

Read More
Magazeti Editor Soma Biblia Magazeti Editor Soma Biblia

"...mwishindanie imani"

Je, nini itatokea kwa imani yetu, ikiwa kila kizazi huibadilisha tu kulingarna na mawazo, mahitaji na mipango yake? Katika RIZIKI toleo la kwanza 2018, tutaangelia zaidi maneno muhimu kuhusu Imani yetu ya Kikristo.

Read More