Contact Us

Use the form on the right to contact us.

Or use the information below to contact our main office in Dar es Salaam or Arusha.

Main office:

P.o. box 12772 Dar Es Salaam, Tanzania

Phone: +255 786 197 412

E-mail: salesmanager.somabiblia@gmail.com

Publishing department

Postal address: P.o. Box 2696 Arusha, Tanzania

Phone: + 255 787392951

E-mail: publishing.somabiblia@gmail.com

         

123 Street Avenue, City Town, 99999

(123) 555-6789

email@address.com

 

You can set your address, phone number, email and site description in the settings tab.
Link to read me page with more information.

MIMI NI MKRISTO

Kuwa Mkristo ni kubatizwa na kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako. Je, ni hivyo tu? Kupitia mahojiano na watu mbali mbali tutajifunza kutoka kwao, waliwezaje kuwa Wakristo na kudumu katika Imani na Wokovu wake Yesu Kristo. Utajifunza kupitia ushuhuda wao na jinsi wanavyoishi maisha ya Kikristo.

Filtering by Tag: Ushuhuda

Ushuhuda wa James Sabuni 'Maongozo ya Mungu ni sahihi kuliko yale ya Wanadamu'

Cathbert Msemo

Karibu kusikiliza ushuhuda wa James Sabuni. Mstari huu wa Biblia anaupenda na ametushirikisha sisi sote tunaosikiliza ushuhuda wake. ‘Neno Moja nimelitaka kwa Bwana, Nalo ndilo nitakalolitafuta, Nikae nyumbani mwa Bwana Siku zote za maisha yangu, Niutazame uzuri wa Bwana, Na kutafakari hekaluni mwake’ Zaburi 27:4

Read More

Ushuhuda wa Melania Joakim 'Yesu alinichagua bila gharama yoyote'

Cathbert Msemo

Si ninyi mlionichagua mimi, bali ni mimi niliyewachagua ninyi; nami nikawaweka mwende mkazae matunda; na matunda yenu yapate kukaa; ili kwamba lo lote mmwombalo Baba kwa jina langu awapeni

Karibu kusikiliza ushuhuda wa Melania Joakim kuhusu jinsi alivyopata neema ya kumjua Mungu. Alijiunga tu nawenzake kwenda Shule ya Jumapili wakati akiwa mdogo. Pamoja na kwamba wazazi wake hawakuwa wakristo, hakukatazwa kuendelea kwenda Kanisani. Kupitia yeye sasa mama yake amashampokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake. Kuna mengi ya kujifunza katika ushuhuda wake. Alifunuliwa habari za upendo mkuu wa Yesu aliposoma Yohana 15:16, Yaani Mungu ametuchagua bila gharama yoyote? Ni neema ya ajabu sana. Melania ni mfanyakazi wa Soma Biblia kwa miaka mitano sasa.

Melania Joachim 2 (2).jpg